Friday 30 August 2013

KIM POULSEN AMWONGEZA DAVID MWATIKA KIKOSINI


Kocha mkuu wa Taifa stars Kim Poulsen amemwongeza kikosini Beki David Mwasika,Hii ni katika kujiandaa na mechi ya kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Gambia ,kombe la dunia  litakalofanyika nchini Brazil. Mechi nhiyo iakuwa ni ya ugenini ambapo itafanyika tarehe 7 septemba katika mji wa Banjul nchini Gambia.
David Mwasika ameongezwa kufuatia kuumia kwa beki Kelvin Yondani

No comments:

Post a Comment