Wanamgambo wa Al Shabaab wamewaua watu 59 katika shambulizi la kigaidi
dhidi ya jumba la kifahari lenye maduka la Westgate mjini Nairobi. Hivi
ndivyo hali ilivyokuwa nje ya jengo hilo ambako wapiganaji wa Al Shabaab
wamewateka nyara wananchi kadhaa
Akina mama wkikimbia kujiokoa
Wananchi mbalimbali nwakijiokoa na kutoka nje ya jengo
No comments:
Post a Comment