MICHEZO

TFF,AZAM TELEVISHENI ZASAINI MKATABA WA BILIONI 5.5
Shirikisho la Mpira wa miguu (TFF) na Kampuni ya Azam Media imeingia mkataba wa haki za kipekee le tarehe 30 August,2013 utakaoiwezesha Azam Tv kuonesha mechi za ligi kuu ya Tanzania bara.
 Mkataba huo uliosainiwa katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, una thamani ya Bilioni 5.56 huku TFF ikiwakilishwa na makamu wa Raisi Bwn.Athumani Nyamlani huku Azam media ikiwakilishwa na mtendaji mkuu wa kampuni hiyo Bwn.Thys
Torrington



 FRANCIS CHEKA APATA MAOKEZI YA KUTISHA MOROGORO



 Francis Cheka akiwa kwenye gari  kurudi morogoro baada ya kupata ushindi kwa kumtwanga mmarekani Phil Williams katka ukumbi wa Dimond Jubilee jijini Dar es salaam siku ya tarehe 30 mwezi wa nane
 Pamoja nao ni mashabiki wake wakimsindikiza kurudi morogoro ambako anaishi kwa sasa


Cheka akizungumza na mamia ya mashabiki waliokwenda kumpokea katika ukumbi wa Old Vijana

No comments:

Post a Comment