Kampeni hiyo ya kuchangia maktaba na maabara jimbo la ubungo imeratibiwa na asa isiyo Ya kiserikali la UDI (UBUNGO DEVELOPMENT INITIATIVES)
|
Mbunge wa Ubungo na mratibu wa kampeni wakibeba bango linalohamasisha uchangiaji. |
|
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Ndg. John Mnyika akitoa rai yake kwa wananchi
kuungana nae katika harambee ya kuchangia maabara na maktaba |
|
Mratibu wa kampeni ya kuchangia maabara na maktaba bwana John Mallya |
No comments:
Post a Comment